Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakati wa ufunguzi wa Kikao Kazi cha Walimu Wakuu na Wahasibu wa Shule za Sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi Tanzania katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM Dodoma. (Picha na Adam Mzee)

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakati wa ufunguzi wa Kikao Kazi cha Walimu Wakuu na Wahasibu wa Shule za Sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi Tanzania katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM Dodoma. (Picha na Adam Mzee)

Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi (Zanzibar) Ndugu Othman A. Maulid akitoa salaam za shukrani mara baada ya ufunguzi wa Kikao Kazi cha Walimu Wakuu na Wahasibu wa Shule za Sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi Tanzania katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM Dodoma. (Picha na Adam Mzee)

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Ndugu Gilbert Kalima akizungumza wakati wa Kikao Kazi cha Walimu Wakuu na Wahasibu wa Shule za Sekondari zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi Tanzania katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM Dodoma. (Picha na Adam Mzee)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...