

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi(uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah akizungumza na wajumbe wa wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakati wajumbe hao walipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Maabara ya Utafiti wa Samaki iliyopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam, katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa Japhet Hasunga na kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) Yahaya Mgawe

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiwa katika kikao na watendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) wakati wajumbe hao walipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Maabara ya Utafiti wa Samaki iliyopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),Mheshimiwa Japhet Hasunga akizungumza na watendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa maabara ya Utafiti wa Samaki iliyopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...