Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze Leo anakumbuka siku ambayo Miaka nane (8) alisimamishwa mbele ya Umma wa Wanachalinze kuwaomba wamuunge Mkono yeye na Chama Chake -CCM ili kupata fursa kushirikiana nao kuleta maendeleo na kutatua changamoto zinazotukabili. 

Miaka 8 baadae mafanikio makubwa katika nyanja mbalimbali yanaonekana. Anawashukuru sana kwa imani kubwa aliyoonyeshwa na Wananchi wa Jimbo lake. #TupoPamojaSana #KaziInaendelea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...