Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bi. Zuhura Sinare Muro akizungumza na wanahabari wakati wa tukio la wafanyakazi wanawake wa TTCL na wengine kujumuika kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kujitoa kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake. Zoezi hilo lililofanywa na wanawake wa TTCL liliungwa mkono na wanaume pia. "Ukimuokoa Mwanamke Umeiokoa Jamii"
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bi. Zuhura Sinare Muro akizungumza na wanahabari wakati wa tukio la wafanyakazi wanawake wa TTCL na wengine kujumuika kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kujitoa kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake. Zoezi hilo lililofanywa na wanawake wa TTCL liliungwa mkono na wanaume pia. "Ukimuokoa Mwanamke Umeiokoa Jamii"
Baadhi ya wanawake wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wakichangia damu ikiwa ni sehemu ya kujitoa kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Zoezi hilo pia liliungwa mkono na wanaume ambao walijitoa kuchangia damu.
Mnasihi kutoka Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Bi. Sophia Nasson akizungumza na wanahabari wakati wa zoezi la wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) waliojitolea kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kuisaidia jamii wahitaji wa damu.
Mtaalamu wa Damu kutoka Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) akimtoa damu mmoja wa wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) waliojitolea kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kuisaidia jamii wahitaji wa damu.
Zoezi la kuchangia damu likifanyika Makao Makuu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania Samora Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...