
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwasili Makao Makuu ya Shirika la Fedha Duniani Washington DC nchini Marekani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa na baadhi ya Viongozi wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) pamoja na Ujumbe aliofuatana nao, kwenye picha ya pamoja Makao Makuu ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) Washington DC nchini Marekani.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa kwenye mazungumzo na Mkugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) Bibi Chiristalina Georgieva, Makao Makuu ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) Washington DC nchini Marekani.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akipokea kitabu cha Taarifa ya miaka 20 ya Usimamizi wa Uchumi katika Afrika Mashariki, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) Bibi Christalina Georgieva, Makao Makuu ya Shirika hilo Washington DC nchini Marekani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...