Meneja Raslimali Watu wa mgodi wa Bulyanhulu, Chrispin Ngwaji,akiongea katika kongamano la AIESEC lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU).

Kongamano la kuwajengea uwezo wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa kupata ajira sambamba na kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza ikiwemo kujiajiri lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania na kudhaminiwa na kampuni ya madini ya Barrick kwa kushirikiana na wadau mbalimbali limefanyika mwishoni mwa wiki katika Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.
Meneja Raslimali Watu wa mgodi wa North Mara, Erick Wambura, akiongea katika kongamano la AIESEC lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU)
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo kikuu cha Ushirika Moshi wakifuatilia mada wakati wa kongamano hilo.
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo kikuu cha Ushirika Moshi wakifuatilia mada wakati wa kongamano hilo.
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo kikuu cha Ushirika Moshi wakifuatilia mada wakati wa kongamano hilo.
Baadhi ya wanafunzi wa MoCU katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa AIESEC Tanzania na Barrick wakati wa kongaman hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...