Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) limepongezwa kwa juhudi kubwa inazofanya za kutangaza vivutio vya utalii. 

Pongezi hizo zimetolewa leo na Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji Mhe.Dkt. Ashatu Kijaji alipotembelea banda la TANAPA wakati akifungua rasmi maonyesho ya 9 ya biashara yanayofanyika jijini Tanga.

Maonyesho haya yanaendelea hadi tarehe 6/6/2022. 
Sekta mbalimbali, mashirika ya serikali na binafsi yanashiriki kwenye maonyesho haya.

Pia, Mkuu wa mkoa wa Tanga Mhe. Adam Malima amehudhuria ufunguzi wa maonyesho ya 9 ya biashara katika jjiji la Tanga.










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...