Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) limepongezwa kwa juhudi kubwa inazofanya za kutangaza vivutio vya utalii.
Pongezi
hizo zimetolewa leo na Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji
Mhe.Dkt. Ashatu Kijaji alipotembelea banda la TANAPA wakati akifungua
rasmi maonyesho ya 9 ya biashara yanayofanyika jijini Tanga.
Maonyesho haya yanaendelea hadi tarehe 6/6/2022.
Sekta mbalimbali, mashirika ya serikali na binafsi yanashiriki kwenye maonyesho haya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...