Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mwenyekiti  wa Chama cha ACT – Wazalendo, Juma Duni Haji  baada ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Juni 8, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji  kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa  Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Juni 8, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha ACT - Wazalendo, Juma Duni Haji kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa  Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Juni 8, 2022.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...