Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango pamoja na mkewe mama Mbonimpaye Mpango wakiweka Shada la Maua katika kaburi la aliyekuwa Waziri Mkuu wa Sweden Hayati Olof Palme wakati walipozuru katika eneo la kaburi hilo Stockholm nchini Sweden leo tarehe 1 Juni 2022.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea kitabu maalum kinachoelezea Maisha ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Sweden Hayati Olof Palme kutoka kwa Joakim Jonhsson mhazini wa Chama cha Social Democratic cha Sweden mara baada ya kuweka Shada la Maua katika Kaburi la Hayati Waziri Mkuu Olof Palme Stockholm nchini Sweden leo tarehe 1 Juni 2022.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...