Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Kampuni ya
Association of African Economic Development (AFRECO) Bw. Tetsuro Yano, katika Mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali wa TICAD uliofanyika jijini Tunis, Tunisia
Agosti 28, 2022. Kampuni ya
AFRECO ya imeonesha
nia ya kujenga chuo cha Uhandisi wa Tiba (school of medical
engineering) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ili
kupunguza tatizo la wataalamu wa tiba na vifaatiba nchini. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Kampuni ya Association of African Economic Development (AFRECO) Bw. Tetsuro Yano, katika Mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali wa TICAD uliofanyika jijini Tunis, Tunisia Agosti 28, 2022. Kampuni ya AFRECO ya imeonesha nia ya kujenga chuo cha Uhandisi wa Tiba (school of medical engineering) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ili kupunguza tatizo la wataalamu wa tiba na vifaatiba nchini.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Kampuni ya Association of African Economic Development (AFRECO) Bw. Tetsuro Yano, katika Mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali wa TICAD uliofanyika jijini Tunis, Tunisia Agosti 28, 2022. Kampuni ya AFRECO ya imeonesha nia ya kujenga chuo cha Uhandisi wa Tiba (school of medical engineering) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ili kupunguza tatizo la wataalamu wa tiba na vifaatiba nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...