
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mahusiano ya Nje ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Ndugu Truong Quang Hoai Nam (kushoto) pamoja na Wajumbe kutoka vyama vyote viwili katika kikao kilichofanyika Ofisi Ndogo za CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimpatia zawadi ya kinyago chenye maana ya umoja Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mahusiano ya Nje ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Ndugu Truong Quang Hoai Nam (kushoto) mara baada ya kumaliza kikao kilichofanyika Ofisi Ndogo za CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...