MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan alipowasili katika ukumbi wa Chamwino Dodoma kwa ajili ya kuongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo 26-9-2022.











Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika tarehe 26 Septemba, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo wakati akielekea kuongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika tarehe 26 Septemba, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.



Makamu Mwenyekiti wa CCM Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Katibu MKuu wa CCM Ndugu Daniel Chogolo kabla ya baada ya kushiriki Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kilichofanyika leo Septemba 26,2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...