Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaaban akitoa taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusiana na warsha ya 26 ya utafiti na Sera itakayofanyika Novemba 2-3 katika hoteli ya Golden tulip, iliyoandaliwa na REPOA wakishirikiana na Benki ya CRDB,hafla hiyo iliyofanyika hivi karibuni katika hotel hiyo iliyopo Uwanja wa ndege Zanzibar. FAUZIA MUSSA MAELEZO ZANZIBAR
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaaban akitoa taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusiana na warsha ya 26 ya utafiti na Sera itakayofanyika Novemba 2-3 katika hoteli ya Golden tulip, iliyoandaliwa na REPOA wakishirikiana na Benki ya CRDB,hafla hiyo iliyofanyika hivi karibuni katika hotel hiyo iliyopo Uwanja wa ndege Zanzibar. FAUZIA MUSSA MAELEZO ZANZIBAR
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...