Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa
barabara za mji wa Mkwajuni wilayani Songwe akiwa katika ziara ya Mkoa
wa Songwe, Februari 13, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara za mji wa Mkwajuni wilayani Songwe, Februari 13, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara za mji wa Mkwajuni wilayani Songwe, Februari 13, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Kipande cha barabara za mji wa Songwe ambazo Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa aliweka jiwe la msingi la ujenzi wake, Februari 13, 2023.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...