Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Songwe akiwa katika ziara ya mkoa wa Songwe, Februari 13, 2023. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa maabara ya hospitali ya wilaya ya Songwe akiwa katika ziara ya mkoa wa Songwe, Februari 13, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...