Mkurugenzi wa Masoko na Ukuzaji Biashara TCB Bank Bw. Deogratius Kwiyukwa akizungumza wakati wa kikao cha Wakurugenzi wa sekta mbalimbali ndani ya Tanzania Commercial Bank PLC wamefanya kikao cha mpango mkakakati wakishirikiana na Mameneja wa Matawi nchi nzima kwa ajili ya kujadili malengo ya kuhakikisha kuwa TCB inabakia kileleni Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa PSSSF, jijini Dodoma hivi karibuniMkurugenzi wa Mikopo wa Tanzania Commercial Bank PLC Henry Bwogi akizungumza wakati wa kikao cha Wakurugenzi wa sekta mbalimbali kutoka benki hiyo wakati wa kikao cha mpango mkakakati wakishirikiana na Mameneja wa Matawi nchi nzima kwa ajili ya kujadili malengo ya kuhakikisha kuwa TCB inabakia kileleni Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa PSSSF, jijini Dodoma hivi karibuniMkurugenzi wa Fedha waTanzania Commercial Bank Bi. Regina Semakafu akizungumza na wafanyakazi wa Benki hiyo katika kikao kikuu cha Mpango Mkakati wa Benki kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano PSSSF, Jijini Dodoma hivi karibuni.

Wakurugenzi wa TCB wakiwa katika kikao hicho

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...