
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhi hati za kimila kwa wawakilishi wa wakulima wa ngano waliopimiwa ardhi kwenye mpango wa kilimo cha ngano Wilaya ya Makete wakati akiwa ziarani mkoani Njombe leo tarehe 27 Oktoba 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa wakulima wa ngano waliopimiwa ardhi kwenye mpango wa kilimo cha ngano Wilaya ya Makete mara baada ya kukabidhiwa hati za kimila. (wa kwanza kushoto ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango).

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakiwa katika picha ya pamoja na Bi.Ronesta Mgaya mkazi wa Tandala Wilayani Makete mara baada ya kuzungumza na wananchi wa Wilaya hiyo akiwa ziarani mkoani Njombe leo tarehe 27 Oktoba 2023.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...