Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akimkabidhi tuzo Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Zanzibar, Bw. Arafat Haji, ambapo Shirika hilo ni mdhamini mkuu wa Kongamano la 14 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi linalofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa - AICC, jijini Arusha.
Waziri wa Fedha, Mhe Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiziagiza sekta zote nchini kuhakikisha zinawatumia wataalam wa Ununuzi na Ugavi wenye sifa kwenye shughuli zao, wakati wa Kongamano la 14 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi linalofanyika katika ukumbi wa AICC, jijini Arusha.







Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (katikati) akiwa ameshika tuzo ya ushiriki wa Kongamano la 14 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi linalofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa - AICC, jijini Arusha, alilokabidhiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Bw. Jacob Kibona

Kamishna wa Sera ya Ununuzi wa Umma, Dkt. Frederick Mwakibinga, akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) Bw. Jacob Kibona (katikati) na Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, kabla ya kuanza kwa Kongamano la 14 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi, jijini Arusha.


Wataalam wa Ununuzi na Ugavi wakiwa katika Kongamano la 14 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi, linalofanyika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa- AICC, jijini Arusha.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) Bw. Jacob Kibona (wa sita kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya PSPTB na viongozi wa Mkoa wa Arusha kabla ya kuanza kwa Kongamano la 14 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi linalofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa - AICC, jijini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...