NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa mazingira(online continuous emissions monitoring System) ambao umelenga kurahisisha upatikanaji wa taarifa za uchafuzi.
Uzinduzi huo umefanyika tarehe 29 Julai 2025 Accra nchini Ghana.
Mkurugenzi Mkuu Dkt. Immaculate Aware Semesi ameambatana na, Afisa Sheria Mkuu NEMC Bi.Jackline Nyantori












Uzinduzi huo umefanyika tarehe 29 Julai 2025 Accra nchini Ghana.
Mkurugenzi Mkuu Dkt. Immaculate Aware Semesi ameambatana na, Afisa Sheria Mkuu NEMC Bi.Jackline Nyantori













Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...