wanafunzi wa jangwani wakisubiri kumlaki madiba siku alipozuru bongo mara baada ya kutoka gerezani mwaka 1990. hii pia ni mojawapo ya picha zangu za awali. aliesimama na bango nyuma ya neno amandla ni jamillah mwanjisi (alikuwa mwandishi sasa ni bosi ngo ya kimarekani ya pact) anayekenua nyuma ya neno jangwani ni fatma fereji nasikia yuko ughaibuni kwa sasa. wengine nimewasahau. nawakumbuka hawa wawili sababu waliulizia picha hii ilipotoka gazetini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Michuzi umejitetea vizuri. nafikiri ulibashiri ujio wa maswali ya uliwajua/fehemu vipi hao?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...