Jumuiya ya watanzani ya washington Dc na vitongoji vyake, ikishirikiana na ubalozi inayo furaha kubwa kuwaalika katika sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Sherehe hizi zZitakazofanyika tarehe 04/26/08 katika ukumbi wa:
Mirrage Hall
uliopo 1401 University Blvd.
yattsville
Md 20783.
Wote mnakaribishwa!
Kwa Maelezo zaidi wasiliana na Mwenyekiti
Steve Mhina 443-278-6119
Asante Kaka michuzi kwa msaada wako. Wewe mwenyewe unaalikwa Kama visa imekaa vizuri. Au kama tegeta wamekubana basi tumekusamehe!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. the date is 4th month of 26 year of the lord 2008,holy ghost silly me,i thought april fools day was long gone - some mistakes really make us wonder

    ReplyDelete
  2. Not a mistake.....US ndiyo wanavyoandika tarehe zao...wakianza na mwezi then siku na kumalizia na mwaka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...