Kama kuna mdau wa blog hii ya jamii ambaye anajua kutumia Java Programming Laanguage
Naomba awasilliane na mimi. Kuna Kazi na Kampuni kutoka England.
Sifa Anatikiwa awe Raia wa nchi za Africa Mashariki na asiwe na criminal record

Ahsante


Phillip Higenyi Kakuru
ICT Resource/WebdesignICT MOVEMENT
Tel: +256775669099
P.O Box 5772
Kampala

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2008

    decalaring Variables:
    int x=20;
    int y=2;
    int a=y+x;
    System.out.println(a);
    22

    ahhh nimesahau zingine kidogo, lakini labda ntapata ngoja niApply tu. tehetehetehe

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 30, 2008

    siyo Laanguage bana toa a moja
    mbona utasababisha nisi-apply bure kwa kukuona msanii!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 31, 2008

    mi9 najua JavaScript semeni nichukue kazi hiyo!MULOX

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...