FILIMBI YA KUASHIRIA KWAMBA SASA NI WAKATI WA MAPUMZIKO IMELIA NA SI TAIFA STARS WALA CAMEROUN WALIOPATA BAO KWENYE MCHUANO WAO WA KUWANIA NAFASI YA KUCHEZA KOMBE LA DUNIA.
HALI YA MCHEZO NI KAWAIDA KABISA NA WAKATI ETO'O HAJAONESHA CHECHE ZAKE, RIGOBERT SONG KAPEWA TENDA YA KULA SAHANI MOJA NA MSHAMBULIAJI WETU NIZAR KHALFANI. YAANI KILA SEHEMU YUKO NAYE.
NA HABARI KUTOKA KAMPALA ZINASEMA WAKWE WAMESHAMCHAPA ANGOLA 2-0 KABLA YA HAFTAIMU.


Tupe ishu kaka michu
ReplyDeletenaona tumejitahidi kwa hizo dk 40,ila hujatuambia vipi..tunashambulia au ndo hata 18 hatuvuki?
wakaze mat#$o angalau droo inatosha
Nyaningedere
kaka michu mbona blog yetu ina tarehe 2 tofauti...tushike ipi?
ReplyDelete