Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Batilda Burian akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala mbalimbali yaliyojili katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi uliomalizika tarehe 18,Desemba 2009 mjini Copenhagen, Denmark. Mkutano huo pamoja na mambo mengine ulizitaka nchi zilizoendelea kupunguza uzalishaji wa gesi joto angalau kwa asilimia 40 chini ya viwango vilivyokuwa vikizalishwa mwaka 1990.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. MAVAZI YA MHESHIMIWA YANAONGEZA JOTO NA CO2 HAPO DARA

    ReplyDelete
  2. hivi huyu mama huwa hana masikio?

    nyokoinyo

    ReplyDelete
  3. Hivi huyu mdada Udoctor wake ni wa Phd au Sindano?

    ReplyDelete
  4. Vikwanguaanga vinaongeza umasikini tanzania: Umeme unahitajiwa saaaaaaana kwa maji, mwanga, vinyonyosi, lifts na kadhalika.

    Kwa nini wasijenge vyenye kutumia umeme wa jua au upepo?

    Genda

    ReplyDelete
  5. Udkatari wake ni wa Ph.D amesomea tamaduni za Kiarabu na kupewa Udaktari Chuo Kimoja huko Iran: Hivyo unavyoona vazi lake ni matunda ya usomi wake huko Iran

    ReplyDelete
  6. Nyie wapuuzi huyu dada ni kati wasomi bora duniani.acheni chuki zenu za kijinga.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...