

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MAVAZI YA MHESHIMIWA YANAONGEZA JOTO NA CO2 HAPO DARA
ReplyDeletehivi huyu mama huwa hana masikio?
ReplyDeletenyokoinyo
Hivi huyu mdada Udoctor wake ni wa Phd au Sindano?
ReplyDeleteVikwanguaanga vinaongeza umasikini tanzania: Umeme unahitajiwa saaaaaaana kwa maji, mwanga, vinyonyosi, lifts na kadhalika.
ReplyDeleteKwa nini wasijenge vyenye kutumia umeme wa jua au upepo?
Genda
Udkatari wake ni wa Ph.D amesomea tamaduni za Kiarabu na kupewa Udaktari Chuo Kimoja huko Iran: Hivyo unavyoona vazi lake ni matunda ya usomi wake huko Iran
ReplyDeleteNyie wapuuzi huyu dada ni kati wasomi bora duniani.acheni chuki zenu za kijinga.
ReplyDelete