
- MICHUZI
WAWEZA KUFUATILIA MATOKEO
KWA WAKATI WAKO KUPITIA 'MWANANCHI'
KWA MATOKEO YA AWALI
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Tunasubiri kwa hamu kuliko kawaida, macho na masikio yana njaa sana na habari hii!
ReplyDeleteMungu Ibariki Tanzania.
Mdau, Tokyo-Japan
Tunasubiri kwa hamu kuliko kawaida, macho na masikio yana njaa sana na habari hii!
ReplyDeleteMungu Ibariki Tanzania
Mdau, Tokyo- Japan
Tunasubiri kwa hamu kuliko kawaida, macho na masikio yana njaa sana na habari hii!
ReplyDeleteMungu Ibariki Tanzania
Mdau, Tokyo- Japan
michuzi vipi bwana sisi tumeona matokeo ya awali ipp wametoa sasa wewe unapiga kambi kwenye tume,tume inaweza kutnagaza hata keshokutwa kama vpi kalale tu!
ReplyDeleteTUNASUBIRI KWA HAMU ANKAL....
ReplyDeleteWapi wewe, matokeo ss mbona tunapata tu. Wewe sema uliokua ukiwasupport wengi wamepigwa chini. Nilikua nakusikilizia kuanzia asubuhi. Yaani wewe ni ccm damu anko
ReplyDeleteAnkel
ReplyDeleteHata kwenye majimbo moja moja huwezi kuptupasha tulioko mbali? Jitahidi tuende na wakati wenzio.
Mtanzania.
Kaka michuzi acha kutubania! mbona kuna sehemu nyingine yameanza kutoka ila kwenye blog yako ata jimbo moja ujatuwekea! tunakutegemea sana kaka!!!
ReplyDeleteMdau Malaysia
Ankal big up kwa uamuzi wako wa kusubiri NEC ili kua na kitu cha uhakika maana NEC ndio yenye mamlaka ya kutanagaza matokeo.
ReplyDeleteMichuzi kwa mara ya kwanza unatulekeza tufuatilie matokeo kwenye tovuti ya gazeti la Mwananchi? Imekuwaje tena kaka?
ReplyDeleteyamekugeukia ha ha haa cahedema hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hata kama kikwete akishinda sina tene was wasi, bungeni kumejaa chadema tupu! am loving this monday
ReplyDeleteAnkal niaje?
ReplyDeleteDondoo zinahusika kaka kama ilivyokuwa kwenye kura za maoni, fanya hivyo
hahahaha huyooo ngoma yenu ngumuuuu
ReplyDeleteBongo Raadio inarusha matangazo LIVE ya matokeo ya uchaguzi tembelea www.bongoradio.com
ReplyDeleteYAP MMEPATA KIKWETE URAIS TUMEPATA CHADEMA NA CUF UBUNGE! KAZI IPO!!! EHHH MBONA BUNGENI RAHA. IT'S ABOUT TIME! HERE WE COME 2015. HAKUNA MAKAMBA JR WALA RIDHIWANI.
ReplyDelete