yake mpya tayari kuanza kuchapakazi.

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michu hizi picha ni aje maana hata hazionyishi sura za watu. Mpigaji katumia simu au nini?
ReplyDeleteUnataka sura za nini..wewe jali ujumbe!by the way ofisi ni nzuri sana..namtakia kazi njema na mafanikio katika majukumu yake mapya
ReplyDeleteSio anne ni anna makindaaaaaaaa, hivi hii anne mmeiibua wapi?
ReplyDeletesamahani michuzi sijui jinsi ya kutuma msaada tutani naomba unitangazie natafuta chuo kizuri wanachofundisha english kwa mtu mzima kama mm napenda kujua kimombo kwani elimu haina mwisho plz usidharau ombi langu mdau DAR NA HUWA INANISUMBUA SANA NIKISAFIRI KIBIASHARA HATA KOPYUTA NIMEANZA KUJIFUNZA HIVI KARIBUNI
ReplyDeletesamahani michuzi una tabia ya kudharau ombi langu,mm ni mdau ndio naanza kujifunza vitu hivi vya kubofya(kopyuta)tatizo langu kubwa lugha ya kiingereza sijui na ninapenda kujua kwani elimu haina mwisho,naomba uniwewkee ili tangazo sijui jinsi ya kutuma nitafuta chuo wanachofundisha lugha ya kiingereza
ReplyDeleteMwambie atembelee choo cha wageni
ReplyDelete