Gari ndogo aina ya Toyota Ruxi yenye nambari za usajili T 530 DHT imenusurika kupiga mzinga asubuhi hii katika barabara ya Mandela jijini Dar es salaam, baada ya tairi moja ya mbele kulia kupasuka wakati ikiwa kwenye mwendo. hakuna madhara yaliyotokea katika tukio hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...