
Vigogo watano wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Kilimanjaro (KNCU) wakiwemo mwenyekiti wa sasa wa KNCU Aloyce Kitau na Mwenyekiti mstaafu wa KNCU ,Maynald Swai wamefikishwa muda huu katika viunga vya mahakama ya Hakimu mkazi,Moshi.
Wamo pia aliyekuwa Meneja wa TCCCo Andrew Kleruu, Meneja wa KNCU ,Honest Temba na Makamu mwenyekiti wa KNCU,Khatibu Mwanga.
HABARI ZAIDI TUTAWALETEA.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...