Kamera ya Globu ya Jamii, ililinasa tukio hili la ajali ya Lori lililobeba nguzo za umeme za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Basi la Kampuni ya Tilisho kwa nguzo zilizokuwepo kwenye lori hilo kugonga sehemu ya juu ya basi hilo, lililokuwa limepunguza mwendo katika sehemu ya kivuko cha watembea kwa miguu, eneo la Same, Mkoani Kilimanjaro. 
 Askari wa Usalama Barabarani wa Kituo cha Same (kulia) akipima ajali hiyo huku mashuhuda wa tukio hilo wakiwa wamemzunguka.
hivi ndivyo hali ilivyokuwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...