Na Karama Kenyunko blogu ya jamii.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta dhamana ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mining Ester Matiko kwa kukiuka masharti ya dhamana.
Uamuzi huo umetolewa leo Novemba 23.2018 dakika chache zilizopita na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri.
TUTAWALETEA HABARI KAMILI BAADAE KIDOGO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...