Makamu
wa rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Mama Samia Suluhu Hassan
akimsikiliza Afisa uhusiano kampuni ya simu Halotel Stella Pius wakati
akizungumza katika harambee ya kuchangia Taifa Stars iliyofanyika
jijini Dar es Salaam.Halotel ilichangia shilingi Million 10, Kutoka
kushoto ni Afisa Mawasiliano wa Halotel Hindu Kanyamala na Katibu Mkuu
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Susan Mlawi.

Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Mama Samia Suluhu Hassan akimpongeza Afisa uhusiano kampuni ya simu Halotel Stella Pius mara baada ya kuzungumza na kuchangia katika harambee ya kuchangia Taifa Stars iliyofanyika jijini Dar es Salaam.Halotel ilichangia shilingi Million 10, Kutoka kushoto ni Afisa Mawasiliano wa Halotel Hindu Kanyamala na Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Susan Mlawi.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan, Katibu Mkuu wa Wizara Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi Susan Paul, wakiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Halotel katika harambee ya kuchangia timu ya Taifa Stars ambapo kampuni hiyo ilichangia Milioni 10/.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...