Mmoja
wa wakazi wa Geita akiwa amepanda bodaboda iliyosheheni mzigo na kukaa
kwa mtindo wa Kike, ambao haruhusiwi na Watu wa Usalama barabarani kwani
ni hatari kwa abiria huku dereva wake akiwa hajavaa kofia ngumu hali
inayohatarisha maisha yao kama ikitokea ajali .PICHA NA HUMPHREY SHAO,
MICHUZI BLOG.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...