Mmoja wa wakazi wa Geita akiwa amepanda bodaboda iliyosheheni mzigo na kukaa kwa mtindo wa Kike, ambao haruhusiwi na Watu wa Usalama barabarani kwani ni hatari kwa abiria huku dereva wake akiwa hajavaa kofia ngumu hali inayohatarisha maisha yao kama ikitokea ajali .PICHA NA HUMPHREY SHAO, MICHUZI BLOG.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...