Mkuu wa Kitengo cha Habari wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Frank Sanga, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Francis Nanai, Afisa Mwandamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Jehud Ngolo na Meneja Masoko wa MCL, Sarah Munema wakiwa katika  waliazindua promosheni ya Shinda Mchongo wa Mwanaspoti ilifanyika  leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Francis Nanai, akionesha gazeti la Mwanaspoti  katika uzinduzi wa  promosheni ya Shinda Mchongo wa Mwanaspoti leo jijini Dar es Salaam.

Afisa Mwandamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Jehud Ngolo kushoto akizungumza mara baada ya kuzinduzi  promosheni ya Shinda Mchongo wa Mwanaspoti ilifanyika  leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...