Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe . Juliana Shonza (katikati) akipata maelezo ya vipodozi visivyokuwa na kemikali vilivyotengenezwa na wajasiriamali wa Tanzania wakati wa Tamasha la Urembo wa Asili lililofanyika jana Julai 27/2019 katika viwanja vya Life Park Jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...