Mbunifu wa VETA akionesha umahiri wa utengenazaji wa kiti ambacho kinaweza kutumika katika kunyoshea nguo wakati wa Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Mwalimu wa VETA Kibaha Haji Sanani akionesha umahiri utengenazaji bidhaa mbalimbali wakati Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mwanafunzi wa VETA Njilo Mkoani Arusha Abdul Abedi akionesha namna ya kutengeneza mchapalo wa kinywaji kwa kuchanganya vimiminika tofauti vya Juisi wakati walipotembelea Banda la VETA katika Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Wananchi wakipata maelezo kwa Mratibu wa Wanagezi wa Chuo cha VETA Moshi Theresa Mosha katika Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Ngazi inayoenekana wakati mwingine kinaweza kutumika kama kiti ni ubunifu wa VETA katika Maonesho ya Sababa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...