Muonekano wa barabara ya Moronga - Makete km 53.5 ambayo ni sehemu ya barabara ya Njombe - Ndulamo-Makete km 107.4 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Njombe.
Mkandarasi China Railway Seventh Group Co. Ltd (CRSG), akiendelea na kazi ya kuweka lami katika barabara ya Moronga - Makete km 53.5 ambayo ni sehemu ya barabara ya Njombe - Ndulamo-Makete km 107.4 
Mkandarasi China Railway Seventh Group Co. Ltd (CRSG), akiendelea na kazi ya kuweka lami katika barabara ya Moronga - Makete km 53.5 ambayo ni sehemu ya barabara ya Njombe - Ndulamo-Makete km 107.4 
Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mkoa wa Njombe Mhandisi Yusufu Mazana akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), mhe. Elius John Kwandikwa alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Moronga- Makete km 53.5 inayojengwa kwa kiwango cha lami.


Muonekano wa box calvat linalojengwa katika barabara ya Moronga - Makete km 53.5 ambayo ni sehemu ya barabara ya Njombe - Ndulamo-Makete km 107.4 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Njombe.
Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe Bw, Ali Kassinge akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sekta ya ujenzi), mhe. Elius John Kwandikwa alipokagua ujenzi wa barabara ya Moronga - Makete km 53.5 inayojengwa kwa kiwango cha lami.
Muonekano wa nyumba ya Mwalimu wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA Wilayani Makete zinazojengwa na Wakala wa Majengo nchini (TBA), mkoani Njombe
Muonekano wa bweni la wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA Wilayani Makete linalojengwa na Wakala wa Majengo nchini (TBA), mkoani Njombe. 

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Julai 31,2019. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...