Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akizungumza na  wakati wa hafla ya chakula cha jioni kwa ajili ya wajumbe wa wiki ya maonyesho ya bidhaa za Sadc jana jijini Dar es Salaam. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Bw. Albert Jonkergouw akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha jioni kwa ajili ya wajumbe wa wiki ya maonesho ya bidhaa za Sadc.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
 Mwanamuziki Christian Bella akitoaa burudani  wakati wa hafla ya chakula cha jioni kwa ajili ya wajumbe wa wiki ya maonyesho ya bidhaa za Sadc jana jijini Dar es Salaam.  










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...