Wananchi wa Wilaya ya Ubungo wakipita karibu na lundo la takataka zilizoachwa bila ya kuondolewa kwenye Barabara ya Morongoro karibu na kituo cha daladala cha Ubungo Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Wananchi wa Wilaya ya Ubungo wakizikwepa takataka zilizoachwa bila ya kuondolewa jirani na kituo ya daladala ya Ubungo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv.)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...