Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiteta jambo na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania Ndugu Gaudentia Kabaka wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Baraza Kuu la UWT leo tarehe 15 Juni, 2022, Dodoma.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake Tanzania leo katika Ukumbi wa White House, CCM Makao Makuu Dodoma.

Sehemu ya Wajumbe waliohudhuria ufunguzi wa Kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake Tanzania




 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...