
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi Barabara ya Chunya-Makongorosi km (39) iliyojengwa kwa kiwango cha Lami katika sherehe zilizofanyika Matundasi Chunya Mkoani Mbeya tarehe 06 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kuashiria ufunguziBarabara ya Chunya-Makongorosi km (39) iliyojengwa kwa kiwango cha Lami katika sherehe zilizofanyika Matundasi Chunya Mkoani Mbeya tarehe 06 Agosti, 2022.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...