July 2009
no image
Watanzania waishio katika Jimbo la Gauteng (Johannesburg na Pretoria) wanatarajia kufanya mkutano wa kuanzisha jumuia yao tarehe 22 mwezi wa Agosti 2009 jijini Johannesburg. Mkutano huu utatoa fursa ya kujadili mambo mbali mbali yatakayohusu jumuia hii pamoja na kuchagua viongozi wa kudumu.

Watanzania wanaoishi kwenye miji ya Johannesburg na Pretoria ambao wangependa kuwa wanachama na pia kushiriki kwenye uchaguzi wa uongozi wa jumuia wanakaribishwa kuwasiliana na wajumbe wafuatao kwa maelezo zaidi:
Brian Mshana b_mshana@yahoo.com
Laurean Rugambwa bwanakunu@gmail.com
Faustine Ndugulile drfaustinen@aol.com

Shukrani
KAMATI YA MAANDALIZI
no image
How to be resourceful in Modern Tanzania
By Diaspora writer
I have followed the debates on the jamii blog and i thought some of the schools of thought put forward about the root causes of the poor life of Tanzanian all heaped the root of Tanzania’s problems on the governments .I am not trying to discredit them , but its my view that they sholud try and give some solutions sometimes other than playing a blame game always.
Most of the writers like Dr shayo and Mr Mashaka seem to suggest that all the country’s problems lies with the running party.Have they seen the Tanzania vision 2025 which partly says that a Tanzanian who is born today will be fully grown up, will have joined the working population and will probably be a young parent by the year 2025.
Similarly, a Tanzanian who has just joined the labour force will be preparing to retire by the year 2025. What kind of society will have been created by such Tanzanians in the year 2025? What is envisioned is that the society these Tanzanians will be living in by then will be a substantially developed one with a high quality livelihood.
Abject poverty will be a thing of the past. In other words, it is envisioned that Tanzanians will have graduated from a least developed country to a middle income country by the year 2025 with a high level of human development.
The economy will have been transformed from a low productivity agricultural economy to a semi-industrialized one led by modernized and highly productive agricultural activities which are effectively integrated and buttressed by supportive industrial and service activities in the rural and urban areas.
A solid foundation for a competitive and dynamic economy with high productivity will have been laid. Consistent with this vision, Tanzania of 2025 should be a nation imbued with five main attributes; ·
*High quality livelihood
* Peace, stability and unity
* Good governance
* A well educated and learning society
*A competitive economy capable of producing sustainable growth and shared benefits.
What else do they want the government to do?
Why cant these guys wait till 2025 then start critising?.
Most of these guys live abroad at their own will, and nobody dragged them back to Tanzania. Then why do they want to think for the majority of Tanzanians who think everything is fine?
They are even going to vote in the current government back with a landslide victory (Kwa kishindo)
Any way, as part of my re search for the root causes of Tanzania’s poverty and ways for its reduction i thought that I should follow a different path even though its a controversial one.
For example have Tanzanians ever thought about how to make money for them selves by selling their own bodies?
Of course, I know I am going to take a lot of heat on this because people might try to relate this topic to the tragedy that has befallen to our dear ones from the albino community who are being hunted down and hacked to death to satisfy a growing demand for their body parts and blood to use in black magic .
I totally condemn this kadili /katenda kapya ka watanzania wenzangu kako hivi:
Lets look at sperms:
In Romania, its legal to pay for sperms .Some clinics are offering as much as £35 per donation.This is in a city called Timisoara. In the US alone a sperm donor can earn $40- £120 per donation as long as he is not mentally ill , drug taking, without sexually Transmitted deases, family history of cancer. In Tamisosoara , sperm business is so good that around 100 car workers at a factory in Campulung have promised to sell sperm to a fertility clinic to try and reduce their company ‘s debt.
What about eggs:
In India a donor egg can fetch as much as £500 -£7000 depending on how ethical the clinic is , and how educated the donor is .In Britain , British women donors are expected to receive a fee equating to the IVF treatment cycle which is around £ 3,000.This is according to the Human fertilisation and embryology authority
Then comes bone marrow:
A handful of cancer research institutions pay for bone marrow and white blood cells in the US.It wa reported that in 2005 that a Californian medical centre was paying local students $200 for 50cc of bone marrow, while for a four day procedure to remove blood cells , it paid $700
The cost of Kidneys:
A few weeks ago it was reported in the media that a Jewish syndicate in New jersey who are now under investigation , told an undercover FBI agent that the going price for a kidney is $150,000
How about Breast Milk?:
Even though mothers in the west are know to donate their breast milk or colostrums to their local neonatal units , however its not unknown for mothers to sell their milk in local classified ads or on line
The hair:
Banbury Postiche(wigs UK) pays as much as £3 an ounce if your hair is 6-12 inches long and £5 an ounce if it is more that 12 inches long. All you need is to type “sell your body for cash” into an internet search engine .
REMEMBER its not for the faint hearted
Bi. harusi Mwanaharusi Shein na bwana harusi Abdalla Mitawi kwenye sherehe yao iliyofanyika tarehe 26/07/2009 zenji ndani ya bwawani hotel . Shoto ni mdogo wa mbwana harusi Aliy Mitawi na kulia ni kaka wa bwana harusi Eddy Mitawi.

Michu Boy!
Usishangae kuona siku moja
watu wakiogelea kuelekea bongo.
Cheki ngoma hii...swala tete hili!
Mdau UK

THOUSANDS of foreign students granted visas to study at UK universities never turn up, figures have confirmed.

It has long been feared many simply use them as a way to get into the country.
Now figures for three universities alone have shown nearly 2,500 applicants failed to enrol in the last three years

Students from Saudi Arabia, Nigeria,

Tanzania and Pakistan went missing after getting places in Hampshire.


There were also smaller numbers from Iraq, Iran and Afghanistan.
About 1,436 students didn't show up at Southampton Solent University and another 998 at the University of Southampton. Elsewhere, 51 went unaccounted at nearby University of Winchester.

Sir Andrew Green of MigrationWatchUK said: "There are now thousands of bogus students in Britain but little is being done to remove them."

The figures relate to before the UK Border Agency brought in a system to monitor student arrivals this year.

A spokesman for Southampton Solent said some students apply to more than one university, sometimes in more than one country. He added others find they cannot afford to go or fail to get the required grades.
mazagazaga ya wadau wa toronto baada ya mgomo wa wazoa taka
ha ha habari ndiyo hiyo....
kama mwananyamala kwa kopa vile....
dah!
daraja mdebwedozzzzz...

Mh. Anko Nanihii,
Naomba uwatundikie wadau video na taswira hizi waone kuwa hata Majuu mambo ni tambarare kama Bongo. Hahahhaa!

Hivi karibuni shimo kubwa lilitokea katika barabara ya Finch mjini Toronto, Canada. Pia kulikuwa na mafuriko katika mitaa mbalimbali ya jiji la Toronto baada ya mvua kunyesha.

http://www.youtube.com/watch?v=occ0vFcevas
http://www.youtube.com/watch?v=kM_FgtGKLv0

Pia mgomo wa wafanyakazi wa halmashauri ya jiji la Toronto uliodumu kwa takriban siku 39 ulioisha jana ulipelekea jiji kujaa takataka na uchafu kila mahala.

http://www.youtube.com/watch?v=8KWkgOqJ9RA
--------------------------------------------------------
Hello Anko Nanihii,
Nashukuru kwa kutundika taswira za Toronto. Nimesoma maoni ya wadau waliotoa maoni hadi dakika hii na ni kama nilivyotegemea. Watu wengi wanaponda Bongo, na kulinganisha Bongo na Toronto; na hii sio mara ya kwanza, kila ikiwekwa picha ya "majuu" kuonyesha mambo yalivyo "tambarare" watu waakimbilia kusifia "majuu" na kuponda kwetu.
Nia yangu ya kuweka taswira hizo ni

1. Vyombo vya habari vya nje vimekalia kuonyesha mabaya yaliyo kwetu kila siku - vita, njaa, uchafu, n.k. Sikatai matatizo yapo, lakini mazuri pia yapo na ningependa angalau siku moja wayaonyeshe. Inafikia hatua watu wa huku nje ambao hawajawahi kusafiri kweli wanaamini kuwa Afrika yote ni vumbi, porini kwa wanyama, n.k. Kwa mantiki hiyo, nimeona si vibaya na sisi tukaonyeshana kuwa hata kwao mambo sio mswano dakika zote.
2. Watu wa nyumbani wengi wanadhania kuwa majuu ni kama mbinguni na kila kitu ni swafi kila sehemu, kila dakika. Sikatai kuwa wenzetu wameendelea na kwao ni kuzuri. Lakini kwa kuwaonyesha watu kuwa hata kwao kuna mambo mawili matatu ambayo hayajakaa sawa, itapelekea kupnguza kuwaabudu sana hawa jamaa na kuwachukulia kuwa nao ni watu kama sisi tu.
3. Mwisho, taswira kama hizi huwa zina nia ya kufurahisha umati na kuleta majadiliano motomoto, ni sehemu ya burudani na stori za jamvi la jamii.
Kinachonisikitisha sasa ni kuwa wengi wetu hatujipendi, hatupendani na hatupendi kwetu.
Kwa kuweka taswira hii watu wanafikiri kuwa tunajiliwaza, au kujilinganisha na nje. Sio hivyo, tunayajua mabaya yaliyo kwetu - ufisadi, njaa, n.k. si vibaya mara moja moja tukabadili stori. Kila kitu watu wanataka walinganishe Bongo na mtoni, sijui kwanini. Hatujivunii ya kwetu jamani; watu wanasahau nyumbani ni nyumbani hata kama porini.
Ndimi
mdau wa Toronto


U want to learn Chess?

U want to improve ur game?

U want stimulate ur intelligence?


Come and meet with chess players of different levels

@

SOMA BOOK CAFÉ


The Chess game is considered as the king of games, one of the most powerful games ever created.Playing chess develops problem solving, critical thinking, decision making skills, etc.


DATE AND TIME: Every Sunday from 4 to 8pm.

PLACE: SOMA Book Café

Direction: Ally Hassan Mwinyi Road, after Morocco traffic lights towards Victoria second to the right (Chato street), -ARR health Centre- then first left (Regent Street) and again first left (Mlingotini Close).


Soma is located at the end right

Interested? Contact:

Martha at number 255 22 2772759,



This week's session will be led by an accomplished player in town.

U can bring your chess board.
-- Program Coordinator,

E & D Readership and Development Agency

Mlingotini Circle,

Regent Estate,

P.O Box 4460

Dar Es Salaam,

Tanzania

Tel: 255 22 27772759

JK akila pozi na Majaji wa Mahakama Kuu 10 wapya na Msajili wa Mahakama ya Rufaa baada ya kuwaapisha jioni hii Ikulu Dar.
Toka shoto mbele ni Wah. Majaji Hamisa Hamisi Kalombola,Fatuma Hamisi Massengi, JK, Pelaggia Barnabas Khaday na Frederica William Mgaya.

Wengine nyuma toka shoto ni Msajili wa Mahakama ya Rufaa Francis Katabazi Mutungi, Wah. Majaji Ferdinand Wambali, Eliamani Mbise, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi,Sekela Moshi,Moses Gunga Mzuna and Prof.Ibrahim Hamisi Juma. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.
no image
HONGERA SANA MKUU WA NANILIIIIIII KWA KULIENDELEZA LIBENEKE LA KIKWELIKWELI.
NADHANI HII MADA YANGU IMEKUJA MUDA MUAFAKA KWANI NAONA KAMA NAHITAJI MSAADA WA WADAUZZZ.
NI KWAMBA KWA SASA NAMILIKI VEHICLE (PIKIPIKI-AVENGER CRUZ). HII PIKIPIKI NIMEINUNUA MPYA KAMA MIEZI 8 ILIYOPITA HAPA INDIA. NI PIKIPIKI NZURI, POWERFULL NA KIKUBWA ZAIDI INA MILLAGE KUBWA(LITA MOJA NI KAMA INAENDA KILOMETA 60 HIVI-NI NZURI KWA MAZINGIRA YA TZ).
KWAHIYO NILIKUWA NAFIKIRIA KUIVUKISHA MAJI MPAKA BONGO MWEZI DECEMBA.SASA KUTOKANA NA KUSOMA THREADS NYINGI HAPA KUSUHU UFIRAUNI NA UFISADI UNAOFANYIKA KWENYE BANDARI YA SALAMA NA KWINGINEKO,NIMESHIKWA NA WOGA,(HADI NAFIKIRIA NIIUZE TU).
SASA MASWALI YANGU NI HAYA...
1. KWA VEHICLE KAMA VILE PIKIPIKI, VIPI WALE JAMAA WA PALE BANDARINI DAR WANAWEZA WAKANIZINGUA,AU KWA VILE NI PIKIPIKI WANAWEZA WAKAWA FAIR? (KWA VILE WENGI NAONA WAKIZUNGUMIZIA MAGARI)
2.WENGI WALIKUWA WANAPENDEKEZA KUTUMIA BANDARI YA MOMBASA,SASA KWA KUFIKIRIA HILO,UTARATIBU WA PALE MOMBASA UPO VIPI,KWA MANTIKI KWAMBA KUTOKA PALE MOMBASA MPAKA IFIKE NINAPOISHI(MTWARA-SOUTHERN TZ) ITAKUAJE? INABIDI NIKIFIKA PALE DAR,NIANZE TENA PROCESS ZA KUTAFUTA VISA NA KWENDA KENYA,HALAFU NIANZE MISHEMISHE TENA ZA JINSI GANI NIIINGIZE BONGO(HII NAONA KAMA NI COMPLICATION ZAIDI KWANI MIZUNGUKO YOTE NA KUISAFIRISHA TENA TOKA MOMBASA HADI MTWARA NAYO NI HEAD-ACHE-KWANI ITACHUKUA MUDA NA ITAKUWA GRARAMA SAWA TU NA ILE YA KUWAHONGA WALE MAFISADI PALE BANDARI YA DAR),AU NICHUKUE NDEGE ITAYOFIKA KENYA,THEN NISHUKE KWA LABDA SIKU 2 HIVI NIKIFUATILIA MZIGO(MAY B THIS IS MORE CONVINIENT-KUMBUKA NINA MIZIGO MINGI,KWAHIYO SIKUPENDA SANA NISHUKIE KENYA)
3. KWA PALE MTWARA KUNA BANDARI,TENA KUBWA TU...SASA SINA UHAKIKA SANA KAMA NITAWEZA KUTUMIA BANDARI YA MTWARA DIRECTLY,PIKIPIKI ISISHUSHWE PALE DAR-ES-SALAAM,JE HII NAYO INAWEZEKANA??JE VIPI KUHUSU UFISADI'ZZ KULE KUSINI, SIPO AWARE SANA ,LABDA KAMA KUNA MDAU ANAWEZA KULIFAFANUA KWA HILI WADAU NAOMBA MSAADA KWA HILO..
MKUU WA NANILIIIIII
NAOMBA JINA NA MAIL ID ZITUPIE KAPUNI NITAFURAHI ZAIDI
MDAU FROM INDIA
JK akipozi na majaji 10 wapya wa mahakama kuu na msajili wa mahakama ya rufaa mmoja baada ya kuwaapisha jioni hii Ikulu, Dar. Toka shoto mbele ni Wah. Hamisa Hamisi Kalombola, Fatuma Hamisi Massengi, JK, Pelaggia Barnabas Khaday na Frederica William Mgaya.
Wengine mstari wa nyuma toka shoto ni: Msajili mpya wa mahakama ya Rufaa, Francis Katabazi Mutungi, na Wah. Majaji Ferdinand Wambali, Eliamani Mbise, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi,Sekela Moshi,Moses Gunga Mzuna na ProfesaIbrahim Hamisi Juma.
wana besdei mpigapicha wetu Fadhili akida na mwandishi wetu upendo hartsuiker, wakimpa keki bosi wetu mkumbwa ally kwenye sherehe fupi ya kustukiza waliyoifanyia ofisi za daily news na habari leo baada ya tarehe zao za hepi besdei kugongana. baada ya hapo kila mmoja alienda kusherehekea kivyake
anko nanihii akiwalisha keki wana besdei
mzee wa lukwangule hakusahaulika.



afande wa FFU akiwa na guruneti moja ambalo halikulipuka katika uporaji wa benki ya NMB tawi la Chang'ombe huko Temeke leo.
damu ya wafanyakazi wa katika kaunta ya benki ya NMB tawi la Temeke ambapo majambazi yapatayo saba hivi yalivamia kwa mabomu ya mkono ambapo baada ya kurusha mawili nje na kuua mlinzi wa kampuni binafsi aliyekuwa getini, yakarusha risasi ndani na kujeruhi watu 13, ikiwa ni pamoja na askari polisi wawili na kukomba takriban shilingi milioni 150 kabla ya kutoroka. Walitoroka na Escudo na Prado zilizokuwa na namba za 'SU' na 'STJ'

Hii si mara ya kwanza kutokea uporaji wa aina hii na umekuja siku moja tu baada ya Kamanda wa kanda maalumu ya Dar Afande Selemani Kova kutoa tahadhari kwamba taarifa za kiintelegensia zao zinaonesha kuna kundi la majambazi yenye silaha kali linataka kufanya uhalifu jijini.Tukio kama hilo lilipata kuonekana benki ya za Ubungo, Mwanga na Mbeya.


Mkurugenzi wa Upeleleza wa Makosa ya Jinai afande Robert Manumba akiongea na wanahabari sehemu ya tukio. Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Lawrence Masha, Mkuu wa Polisi IGP Saidi Mwema na Mkuu wa mkoa wa Dar Mh. William Lukuvi pia walikuja eneo la tukio baadaye na kutembelea majeruhi waliolazwa hospitali ya Temeke iliyo jirani na Benki hiyo.



Msako kabambe unaohusisha hedikopta, magari, farasi, mbwa na askari wa miguu umeanza toka asubuhi na mapema.
Miss Universe TZ 2009 Illuminata James akipokea bendera ya Taifa kutoka kwa meneja wa huduma za utalii Mama Serena Shao huku mwandaaji wa Miss Universe TZ Maria Sarungi-Tsehai akishuhudia. Illuminata anapaa leo kwenda Bahamas yatakofanyika mashindano ya dunia ya Miss universe mwaka huu

Mkuuwa mkoa wa Dodoma, Dkt. James Msekela (kushoto) akikabidhiwa simu za mkononi pamoja na fulana zilizotolewa na Kampuni ya Simu ya Tigo ikiwa ni sehemu ya mchango wao wa sh. milioni 50 kwa Chama cha Wakulima Tanzania (TASO) kwa ajili ya maonesho ya Nanenane yanayotarajiwa kuanza Agosti Mosi mjini Dodoma. Anayekabidhi mchango huo ni Meneja Uhusiano wa Tigo, Bw. Jackson Mmbando
Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dkt. James Msekela (kushoto) akikabidhiwa fulana zilizotolewa na Kampuni ya Simu ya Tigo ikiwa ni sehemu ya mchango wao wa sh. milioni 50 kwa Chama cha Wakulima Tanzania (TASO) kwa ajili ya maonesho ya Nanenane yanayotarajiwa kuanza Agosti Mosi mjini Dodoma. Anayekabidhi mchango huo ni Meneja Uhusiano wa Tigo, Bw. Jackson Mmbando

Mkuuwa mkoa wa Dodoma, Dkt. James Msekela (kati) akifurahia baada ya kukabidhiwa simu za mkononi pamoja na fulana zilizotolewa na Kampuni ya Simu ya Tigo ikiwa ni sehemu ya mchango wao wa sh. milioni 50 kwa Chama cha Wakulima Tanzania (TASO) kwa ajili ya maonesho ya Nanenane yanayotarajiwa kuanza Agosti Mosi mjini Dodoma. Kulia meneja husiano wa Tigo, Bw. Jackson Mmbando anayekabidhi mzigo huo
TIGO KUDHAMINI
MAWASILIANO YA MAONYESHO YA KILIMO KITAIFA DODOMA.

Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo imetangaza azma ya kupambana na changamoto zinazoikabili sekta ya kilimo katika kila mkoa hapa nchini.

Hayo yamesemwa na Afisa Uhusiano wa Tigo Bw Jackson Mmbando jana mjini Dodoma wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliokuwa na lengo la kuitambulisha Tigo kuwa mdhamini mkuu katika eneo la mawasiliano wakati wa maonyesho ya kilimo maarufu nane nane ambayo mwaka huu yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma.

Bw Mmbando alisema kuwa Tigo ni wadhamini wakuu wa mawasiliano katika maadhimisho ya maonyesho ya Nane Nane 2009 na kwamba wanategemea kujifunza mambo mengi ambayo kwa hakika ni changamoto ndani ya kilimo nchini.

Amesema Tigo itaitumia fursa ya kuwa mau katika maoneysho hayo ili kujifunza na kuzijua changamoto zinazoikabili kilimo Tigo na kutafuta mbinu za jinsi ya kupambana nazo lengo likiwa ni kuimarsiha kilimo na kufanikisha azma ya seriklai kupitia kauli mbiu ya kilimo kwanza.
"Kwa sasa Tigo inaendelea kushirikiana na wadau wa Kilimo - TASO kuhakikisha kila mkoa unakuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto hizo kwa kujifunza mbinu mpya za kilimo ili kila mmoja aweze kujipatia chakula chake mwenyewe tukiwa na dhumuni la kuunga mkono kauli ya mwaka huu ya KILIMO KWANZA"Alisema Mmbando.

Aidha katika kuyafanikisha maoneysho haya hasa kimawasiliano ambayo tunaamini ni moja ya nguzo muhimu katika kuharakisha shughuli mbalimbali na kuongoza ufaniksi katika uwajibikaji wa kila siku wakati wote wa maonyesho Tigo tutatoa ushirikiano kuwezesha wadau wa kilimo kwa kutoa vitu vifuatavyo:-

Directors phone 7,
Exhibition officials phones 13,
Airtime of Directors 10 days 7,
Airtime of officials 10 days 13,
T shirts with Nane Nane logo (POLO) 250,
T shirts with Nane Nane logo (Round neck) 500,
Caps with Nane Nane (Logo) 250,
Public address system for 10 days,
Banners Main Gate/stage/in all main areas,
Radio/TV advertisements,
Printing of promotional brochures 10,000,
Build 3 water tanks in the Nane Nane ground.

Katika kuhakikisha wakulima wanakabiliana na changamoto za kilimo bora tunaamini watahitaji mawasiliano bora na gharama nafuu, hivyo huduma zetu za mawasiliano zitaendelea kubakia zile zele ambapo mteja atakaepiga simu ya Tigo kwenda Tigo atalipia shilingi 1 kwa kila sekunde atakayopiga simu siku za kawaida saa ishirini na nne kwa simu zitakazopigwa na mteja wa Tigo.

Mbali na gharama hizi nafuu bado Tigo tutaendelea na promosheni zetu ambazo kwa uhakikika zinasaidia kupunguza gharama na ukali wa maisha na kuwaongeza tija wakulima na wateja wengine kufanya mawasiliano mazuri ya kibiashara kwa muda mrefu kwa kujiunga na huduma yetu ya XTREME SMS, USIPIME, AU TIGO LIFE".

Mmbando alisema "Kwa unafuu wa gharama wakulima na wadau wengine wa kilimo watakaoshiriki maonyesho haya na hata ambao hawatoshiriki watakuwa na uhakika wa kufanya mawasiliano ya kupanua masoko,kutangaza mazao na huduma wanazozitoa bila ya kuwa na hofu huku wakiwa na uwezo wa kuokoa kiwango kikubwa cha fedha wanazoweza kuzielekeza katika matumizi ya shughuli nyingine".

Mwisho tunawaomba wadau wote wa kilimo kutumia fursa ya maonyesho haya kama njia muhimu ya kujitangaza na kuboresha shughuli zao ili kujiimarisha kiuchumi na hatimae kusukuma mbele gurudumu la maendeleo la taifa hasa tukizingatia kwamba Kilimo bado kina nafasi kubwa katika pato taifa.
no image

Multi country Statistician
INDEPTH Effectiveness and Safety Studies (INESS)
Accra, Ghana

Organisation: INDEPTH Network
Sector: Statistics
Job Level: Senior
Location: Accra Ghana

Opportunity Details
INDEPTH is an independent, non-governmental not-for-profit international organisation currently working with 37 community-based health and demographic surveillance system (HDSS) sites in 19 countries in Africa, Asia, Central America and Oceania, to provide health, social and demographic data and research to enable developing countries set, among others, health priorities and policies, based on scientific evidence.

The INDEPTH Effectiveness and Safety Studies (INESS) is a project of the INDEPTH Network and comprises a number of autonomous research groups, working together to plan and execute a programme of work that will provide the needed information on effectiveness and safety of ACTs to the national malaria programme managers for policy making.
The INDEPTH/INESS core management will provide the administrative support for the whole platform. We are seeking a statistician with a strong track record in doing multi-country analysis in particularly related to DSS data. The Statistician will be based at the INDEPTH headquarters in Accra, Ghana. The multi-country statistician will work closely with the INDEPTH statistician together with the Principal Investigator, and Project Manager of INESS. He or she will be expected to travel occasionally to the different partner institutions and DSS sites under INESS.

Tasks/Responsibilities:
Overall goal /responsibility
Coordinate and lead all the analysis work related to the INESS study.

Specific Tasks
Working with the INESS task teams and sites, the statistician will;
Support a team of statisticians from about 8 sites in 4 Africa countries to generate site and country specific data on safety and effectiveness of antimalarial drugs.
Collate and generate INESS wide data
on safety and effectiveness of antimalarial drugs
Support the analysis population based information to support the safety and effectiveness data in each site and on the INESS wide platform
Provide technical backstopping for statistician based in the 8 sites
Organize relevant INESS Investigator’s meeting and other meetings required to discuss issues related to statistics;
Ensure and produce consolidated reports of analysed data from the different sites/tasks teams on regular basis;
Undertake other tasks related to areas of statistics as required by INESS secretariat necessary for the successful implementation of the project.

Qualifications/Personal requirements:
A scientific background with PhD in Statistics, demographics and /or medicine with at least 3-5 years experience
Or an MA/Msc in Statistics, demographics and /or medicine with good track record of at least 10 years
Experience in analysis of multi country project s and or/ safety data and /or) Demographic Surveillance data would be useful.
Experience working with people of different cultural, religious, political backgrounds, and those at community level will be an asset.
Excellent team building, IT, presentation, written and spoken communication skills in English.
Knowledge of French and/or Portuguese would be an advantage.

Submission Instructions
Interested candidates should send an application with full curriculum vitae by e-mail including the names of 3 referees to
Dr Aziza Mwisongo,
INESS Project Manager,
INDEPTH Network Secretariat,
Ali Hassan Mwinyi Road,
Kijitonyama,
COSTECH Building,
P.O Box 78373,
email address;
Deadline: August 15th, 2009.

Female applicants are encouraged to apply.
Date of interview will be communicated to
the candidates who will be short listed
no image
HABARI ZIMEINGIA PUNDE TOKA TEMEKE ZINASEMA KWAMBA MAJAMBAZI KADHAA YAMEVAMIA TAWI LA BENKI YA NMB WILAYANI HUMO LILILO KARIBU NA HOSPITALI YA TEMEKE MIDA HII HII......
MAOFISA WA BENKI YA NMB WAMETHIBITISHA UVAMIZI HUO, ILA HAWAKUWA NA DATA ZA KUTOSHA KUFAFANUA KIASI GANI KIMEPORWA NA KAMA KUNA MADHARA KWA MAISHA YA WADAU. MAANA MAOFISA WANASEMA 'KILA MTU AMEPANIKI ILE MBAYA' KIASI TAARIFA ZINAPATIKANA KWA SHIDA BADO.
INASEMEKANA MAJAMAA HAYO BAADA YA KUVAMIA NA PORA YAMETOKOMEA. HABARI ZINGINE ZINASEMA KIKOSI MAALUMU CHA KUPAMBANA NA MAJAMBAZI KIKO MBIONI KUYASAKA..
GLOBU YA JAMII INAFUATILIA NA ITALETA NYUZZI ZAIDI KWA KADRI ZITAVYOPATIKANA
Hello Brother Michuzi, I am Alex Mawazo Kasengo (pictured above, showing off my Golden Certificate after the climb) , Safety & Training Officer for Barrick Tulawaka Gold Mine, Kagera.
I represented my company to climb Mount Kilimanjaro in an event termed as Kili Challenge 2009 from 2nd July - 9 July 2009. The aim of the climb was to raise funds to fight HIV/AIDS also to help orphans whose parents died mainly of the pandemic.
We had many representatives from different big companies in the country. We were 45 people, 36 made it to Uhuru Peak. We went through the toughest Machame Route and came through Mweka Gate. Please lets share the photos in this most famous blog ya jamii.
Regards,Alex Mawazo Kasengo,
Safety & Training Officer,
Barrick Tulawaka Gold Mine,
Biharamulo,
Kagera



Mdau Alex and co. at Uhuru Peak

Minister for Energy and Minerals Hon William Ngeleja was there too
Together as One
Alex Kasengo with fellow Barrick Employee from Barrick Buzwagi Gold Mine

pole pole.....
last camp before final assault of the kili
so near yet so far













Unajua kuna kila sababu ya watukulalamikia serikali hapo kwetu bongo kwa mambo ambayo mara nyingiyanaweza kuepukwa ikiwa tu patakuwepo na uzalendo halisi kwa kusema hilini letu na siyo hili ni langu.


Ona, Tanzania ni nchi ambayo imekuwa mbelesana kwa mambo mengi ya kimaendeleo, lakini mara nyingi haya maendeleo huonekana kwa watu binafsi, Sina haja la kulisema sana hili maana linamifano lukuki na linaongelewa kial siku.


Tuyaache hayo na tuingie hapa kuona watani wa jadi walivyo mbele kwakuipamba nchi yao na sasa wanalenga 2010 ya SA! Ona walivyoingia ubia wa anga na Air Botswana na haya ndiyo matangazo.. (Business strategies kwa2010 .. hakuna zaidi ya hilo)


Sisi tuko wapi? ????


Tulishidana na SA Airways simply ya yale yale ya utajiribinafsi kwa hongo ndogo ndogo halafu mambo yanakwama.. Lini tutajikwamuahapa na u-mimi mimi huu!!!

Hivi vijembe vya watu kuongelea Ooh Mkuu wa nanihii anakwenda sana vekesheni... ooo nanihii ana duka la kuuzia vipodozi na mafuta ya kuongeza matiti na nanihii!!! si swala la kulivalia njuga mpaka Bungeni. Oooo John Mashaka na Dk. Shayo waandike kwa Kimatumbi....
(((Wapi na wapi)))

Hivi kwa nini badala ya kujifanya wajuaji na wakosoaji wa kila jambo tusiongelee njia mbadala ya hizo unazioona hazifai, na pia tujenge utamaduni wa mashindano ya maendeleo kwa nchi nzima!!!!???????
Mdau dRU
evening dresses cool for wedding or engagement parties
Mitchelle's evening gowns
Top notch casuals
Dar's top one-stop exclusive wear boutique located at Namanga next to Best Bite Restaurant in the City. The shop's wide range of wear for men, women and children is exclusively imported from USA, UK, Italy, France and Spain.
Contact:
0715752088,
0713631288,
0754534530,
0222664107.
Email:

or simply visit


Pichani ni warembo watakaochuana siku ya tarehe 7/8/2009 ijumaa, pale Yatch Club jijini Mwanza kwa mpambano mkali wa kumsaka atakae mvua taji Miss TZ 2008 Nasreen Karim ambaye pia anashukilia taji la Miss Mwanza. Hakika mchuano unaonekana utakuwa mkali kwani washiriki woote wako bomba saaana!!

JE KANDA YA ZIWA INAWEZA KUTOA TENA MISS TANZANIA 2009? MATUMAINI YAPO TUNAWAOMBEA WAFANYE VUZURI HESHIMA IRUDI TENA KANDA YA ZIWA.

Kwa picha zaidi tembelea:
florasalon.blogspot.com

The N Affair
@ The Courtyard by Marriott Cambridge
777 Memorial Drive
Cambridge, MA 02139


The N Affair is pleased to announce Oldskool mix master DJ Luke from Washington D. C will headline the next N Affair on 8-8-2009 bringing the Bongo Flava,Oldskul.New Skul,Kwaito,Ndombolo ya solo,Salsa.Soca,Zouk,Decale,Ragga,Genge,

together with
Waltham own DJ Kasenge with the
Kampala flava and hosted by DJ Pitho.

Cover Charge: $ 15.00
Time: 9.00 pm to 2 .00 am
Age: 21 plus with proper ID
Attire: No Jeans, No hats, No Sneakers, Shirts must have collars.
Bar: Cash bar open from 9.00 pm to 1.00 am.
Last call at 12.30 am

Hors d’oeuvres:
Hot Self serve from 10.00 pm to 1.00 am
Videography. Ad Studios, Waltham, MA. Mgs_dak@yahoo.com

Cameraman. Mocafast photography, Methuen MA. Mthiga@yahoo.com.


Sound: Impex
PS. The video and photographs generated are the exclusive rights of The N Affair, AD studios and Mocafast Photography. We do not post on the internet and ask attendees not to do so either.

For further Information: Ashura Gloria
Dj Luke. Djlukejoe@gmail.com 240 595 9874
Dj Kasenge. Rkasenge@yahoo.com

DJ Pitho. Peterwainainapitho@gmail.com. Or 617-594-4000
kuna wadau wameomba kupaona sehemu ilipokuwa jumba la sinema la empire mtaa wa azikiwe street. naomba kuwasilisha kwa kusema jumba la sinema limebomolewa kitambo hivi sasa pana kikwangua anga kinamea taratiiiiibu..
Mh. Temba kazini Iringa
Mangwair akichana mistari
umati
mtoto wa kichaga akisaka noti
SHOW INAITWA DOUBLE T KAZINI TOUR, NI UZINDUZI WA ALBUM TATU, YA KWANZA MHESHIMIWA TEMBA MTOTO WA KICHAGA, YA PILI MKUBWA FELA INAITWA MKUBWA NA WANAWE YA TATU PESA YA MADEE.

SHOW ZILIFANYIKA TAREHE 24 SUMBAWANGA UKUMBI UPENDO HALL, TAREHE 25 MBEYA UWANJA WA SOKOINE
NA TAR 26 IRINGA UWANJA WA SAMORA,
TOUR ITAENDELEA
TAREHE 8 MWEZI WA 8 KATIKA MKOA WA MOROGORO KWENYE VIWANJA VYA NANE NANE MCHANA NA USIKU KWENYE UKUMBI WA BWALO LA UMWEMA NA
TAREHE 9 MJINI DODOMA KATIKA UWANJA WA JAMHURI MCHANA,
TAREHE 14 TOUR ITANDELE MJINI MOMBASA KATIKA UKUMBI WA JAMBOREE, NA
TAREHE 15 MOMBASA KATIKA UWANJA WA COAST CAR PARK

TAREHE 16 MJINI TANGA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI,WASANII WATAOKUWEPO NI TMK WANAUME FAMILY,MH TEMBA,CHEGE,KR,STICKO,ZOZO,TRIPPLE,LAKEEZ,KICHWA NA MKUBWA FELLA,TIP TOP CONNECTION,MADEE,KASSIM,KEYSHA,TUNDAMAN,SPACK

WATAKAOSINDIKIZA NI MANGWEA NA BERRYBLACK KUTOKA ZANZIBAR

President Jakaya Mrisho Kikwete together with Secretary of State Hillary Clinton at the Department of State Ofice in Washington DC on May 22, 2009. The President later met The US President Barrack Obama at the White House in Washington DC.
Secretary of State Hillary
Rodham Clinton’s Travel to Africa

Secretary of State Hillary Rodham Clinton will begin a seven-nation trip to Africa on August 5 at the 8th U.S. – Sub-Saharan Africa Trade and Economic Cooperation Forum (known as the AGOA Forum) in Nairobi, Kenya.

This trip will highlight the Obama administration’s commitment to making Africa a priority in U.S. foreign policy. This will be the earliest in any U.S. administration that both the President and the Secretary of State have visited Africa.

While in Kenya, Secretary Clinton will discuss new approaches to development, including an emphasis on investment and broad-based economic growth.

The Secretary will be joined in Kenya by Secretary of Agriculture Tom Vilsack, U.S. Trade Representative Ron Kirk, and Assistant Secretary for African Affairs Johnnie Carson.

During the visit to Kenya, the Secretary will deliver a speech at the Ministerial Opening Ceremony for the AGOA Forum, participate in bilateral meetings with Kenya’s senior leaders, discuss global hunger and agricultural issues at a major research institute, and engage with Kenyan citizens.

She will also meet with Sheikh Sharif Amed, the President of Somalia’s Transitional Federal Government.

The Secretary will continue her travel with stops in South Africa, Angola, the Democratic Republic of the Congo, Nigeria, Liberia, and Cape Verde. In each nation, she will emphasize Africa as a place of opportunity, built on an ethic of responsibility.

She will underline America’s commitment to partner with governments, the private sector, non-governmental organizations, and private citizens to build societies where each individual can realize their potential.

In her bilateral meetings and other events, she will encourage new solutions to old challenges, harnessing the power of innovation and technology to provide a foundation for future stability, human development, and sustainable economic growth.

She will stress the importance of facilitating social and economic entrepreneurship, encouraging a new generation of young African scientists, small business leaders, entrepreneurs and civic leaders who are solving real problems and establishing new models for economic success and social advances, with women as full partners in this progress.

And she will discuss ways to foster good regional governance, partnering with regional leaders to band together to prevent conflict and violence, including gender-based violence, democratic erosions, and transnational threats.

Following her visit to Cape Verde, the Secretary will return to Washington, DC.

Statement by IAN Kelly, Spokesman